MAMBO KUMI YANAYOWABOA WANAWAKE WAKATI WA TENDO LA NDOA

Mambo kumi yanayowaboa wanawake kitandani Kama unayatumia ujue hujui kut...a na utasaidiwa tu ama la badilika

1.Kumwingilia mwanamke bila romance- kosa kubwa sana kwani ili mwanamke asikie raha na akupe manjonjo muandae kisikologia usipofanya hivyo basi jiandae kumuona gogo sababu atakuwa ana mawazo kibao na ny..e hazijapanda na matokeo Yake atakuwa dry

2.Kumuuliza mwanamke Kama      anasikia raha 😤😤😤- mwanamme anaejua kazi Yake anauwezo wa kutambua kwa kuangalia na kusikiliza sauti na mihemo ya mwanamke na kujua Kama ana enjoy au anasubiriwa amalize aondoke wacheni maswali ya kijinga fanyeni kazi

3.Kumuuliza mwanamke Kama amekojoa 😳really !! Guys be serious ,hujui Kama Demu kakojoa?????!!!!👿👿 kuweni serious sio hujui kazi yako uko butu na bado una jeuri kuwa mpole  jifunze check hata you tube basi mnaboaaa

4.Kumuuliza mwanamke amekojoa bao ngapi khaaa😡we unato... tu hujui mwenzio vipi wacheni uselfish jifunze kufanya kwa ajili ya kumridhisha mwenzio nae hivohivo ama la utaibiwa tu

5.Kutaka denda usiku au asubui wakati domo lanuka Khaaa , denda ni tamu lakini kwa mdomo msafi sio hujapiga mswaki au umenuna siku nzima Alafu Unataka denda lazima mtu akukwepe na Ndo mwanzo kwa kususiwa tendo mdada kila saa anakwepesha sura(wote)

6.Kunuka pumbu na mstari wa tako -mapenzi ni uchafu ile harufu ya pumbu na jasho inaboa na kukera pumbu Lina harufu Yake nzuri Ila ikivunda jasho inaboa ogeni vizuri mfaidi mapenzi


7.kutojua kukosa- mwanamke hukerwa na wanaume wasiojua kukiss halafu wanajidai wanajua Mwe mtatubana pumzi tu sufocate na kutung'ata lips bureeee jifunzeni

8.hii ni kwa wale wanajidai wanajua kuchezea k na vidole 🙈mnatumiza Jamani na kutukatisha mood lol unapitisha vidole bila jua direction kha.jifunze umbo la k na inashikwaje huwezi chapa lapa.

9.Eti baada ya kumpaka shombo na kumkera unamuuliza "baby umeenjoyeeeeh" 😤😤😤😱😱😱😱whaaaaaat are you serious ?!!!!!!!!!!! Nimeenjoy vipi wakati hamna ulichofanya zaidi ya kunichafua. Tutaanza kuwapa za uso alaaa.

10.Last kukoroma baada ya bao moja .no more maelezo inaeleweka mnatuacha na nyege zetu tupeleke wapi???????

Comments