UNAFAHAMU NINI KUHUSU ULAJI WA MWANADAMU?
Mengi ya magonjwa yanayoonekana kila mahali leo husababishwa na ulaji mbaya kwa kuzingatia maelezo ya fuatayo mtu anaweza kuepuka magonjwa mengi.
1:kulamatunda kwa wingi na mboga za majani na zenye muonjo mzuri.
2:badili chakula chako mlo hadi mlo lakini usile aina nyingi sana ktk mlo mmoja
3:tumia nafaka ambazo hazijakobolewa na mchele usioshwe sana pia tumia nafaka ambazo hazijakobolewa.
4:sukari na chumvi vitumiwe kwa kiwango kidogo sana,pia epuka viungo vya kukolezwa chakula na dawa ya kuumulia
5:uwe na muda maalum wa milo kila siku
6:usile chochote katikati ya milo
7:kula kiamsha kinywa na chakutosha
8:kula kila unachohitaji kustawisha afya na furahia chakula chako
9:kula taratibu na kutafuna chakula vizuri huleta faida kubwa kwa mlaji
10:kunywa maji safi na salama ya kutosha kila siku lakini usinywe wakati wa mlo mapema kabla ama baada ya mlo.
NB:Kufunga ni msaada ktk kudhibiti tamaa ya chakula zoezi la kuwa na kiasi maishani kufunga ni dawa bora kwa magonjwa mengi.
Comments
Post a Comment