JE UNAFAHAMU KUWA KISUKARI UNAWEZA KUPUNGUZA KASI YA MWILINI KWA KUTUMI VITU VIFUATAVYO?

DAWA YA KISUKARI >Star of jerusalum-tafuna maua 3 kila siku. >tiba ya malimao 120 kwa watu wazima >parachichi tunda lake >maharagwe ya soya maziwa yake >tui la nazi >epuka vyakula vyenye rukari >usile nyama >punguza matumizi ya mayai na maziwa >kunywa juice ya karoti kila siku >tumia aloe vela >star of jerusalem mizizi yake ichemshwe inywe kwa muda wa siku 10 kikombe 1x3 kwa siku

Comments